Thursday, September 29, 2016
On Thursday, September 29, 2016 by Mtumishi wa mungu na mkewe, samson mboya
Maombi ya kupinga Roho ya mauti,
2Wafalme 4:40
Utangulizi: Roho ya mauti unaweza kuipinga kwa maombi isaya 38:1
Mauti
inaweza kujificha sehemu ya aina yeyote ile maana ni roho isiyoonekana kirahisi
inaweza kuuwa kiumbe, kitu, au jambo flani, husika, lililolengwa kuuwawa,
ambavyo inahitaji macho ya rohoni kuiona na kuiondoa, pia kunahitajika nguvu za
Rohoni,
Mauti
ni Nguvu ya Uharibifu, inayoweza kuingia katika kiumbe, kitu,
au mazingira wakati wowote kwa yeyote kwa chochote kwaajili ya kuuwa, ndiyo
maana inaitwa jina la mauti,
Mara nyingi mauti inaanzia roho japo matokeo ni mwili,
baada ya kuona viashiria ndipo utasikia vilio leo Mungu anataka kukusaidia
Roho
ya mauti inaweza kumtesa mtu kwaajili ya,
Mfano:
- Ufahamu kutokuwa na taarifa sahihi inaweza kukusababishia kifo
- Roho ambayo hainaulizi wa roho wa bwana,
- Jamii iliyokuzunguka yaani washauri wakiwa hawana ufahamu matokeo
- Mazingira yaliyokuzunguka yanaweza kukusababishia mauti
- Tabia inaweza kuruhusu mauti ndani yako
- Kukosa nguvu ya kiroho ndani yako,(Elisha alikuwa rohoni,
Isaya 42:2 watu
wanaweza kuibiwa wao au roho zao kupitia uchawi Kuna majini au majoka ambayo
yanaingia ndani ya mwili wa mtu na kuitoa roho yake. Haya ukipeleka hospitali
si rahisi kuona katika vipimo vyao Hospitali wanaweza kupima macho, punzi, na
mzunguko wa damu,mfumo wa hewa,viungo mfumo wa akili, kama vinafanya kazi na
kama havifanyi kazi jibu wanasema kiungo
kimekufa au mtu mwenyewe.
Watu waliyoiona mauti ndani ya sufuria,
“Basi wakawapakulia hao watu ili wale. Ikawa, walipokuwa katika kula chakula, wakapiga kelele, wakasema, Mauti imo sufuriani, Ee mtu wa Mungu Wala hawakuweza kula.” 2Wafalme 4:40
“Basi wakawapakulia hao watu ili wale. Ikawa, walipokuwa katika kula chakula, wakapiga kelele, wakasema, Mauti imo sufuriani, Ee mtu wa Mungu Wala hawakuweza kula.” 2Wafalme 4:40
Maombi
ya elsha kupinga roho ya mauti
Kama mauti ipo ndani ya sufuria basi kumbe mauti inaweza kuwa ndani ya gari yako,mauti inaweza kuwepo ndani ya nyumba yako,mauti inaweza kuwa ndani ndoa,shamba lako,Biashara yako, inaweza kuingia katika Huduma yako ikafa, inaweza pia kuagizwa popote kwa yeyote wakati wowote, kifo ni uharibifu,au ni utengano na kinaweza kumtenga mtu na familia yake,
Kama mauti ipo ndani ya sufuria basi kumbe mauti inaweza kuwa ndani ya gari yako,mauti inaweza kuwepo ndani ya nyumba yako,mauti inaweza kuwa ndani ndoa,shamba lako,Biashara yako, inaweza kuingia katika Huduma yako ikafa, inaweza pia kuagizwa popote kwa yeyote wakati wowote, kifo ni uharibifu,au ni utengano na kinaweza kumtenga mtu na familia yake,
Kinaweza kutenganisha ndoa, kinaweza kumtenga mtu na kazi
yake. Kinaweza kumfuata mtu kikamuingia
na kumtenganisha na mwili wake au kumtenganisha na jambo lolote alilo nalo.
Dalili ya Mtu mwenye roho ya mauti,
Dalili ya Mtu mwenye roho ya mauti,
- Anaandamwa na majanga kila namna yasiyoeleweka chanzo nini
- Kila analoanzisha hata kama ni zuri kiasi gani lazima life au liishie njiani
- Ni mtu wa kufanya maamuzi ya haraka na baadayekujutia maamuzi yake
- Ni mtu wakupuuzia kila jambo analoshauriwa,
- Ni mtu mwenyekiburi kikubwa sana
- Ni mtu wa kujitenga tenga na wenzake
- NI mtu wa kushambuliwa na magonjwa yasiyoeleweka
- Ni mtu wa kuandamwa na ajali zinazoandamana kwa msimu flani
- Ni mtu asiyekuwa na makazi ni wa kuhama hama ovyo,
- Ni mtu anayedhufika na wakati mwingine haumwi
- Ni mtu mwenye hasira isiyonakiasi,
Waliyowahi
kuona roho ya Mauti,
“Nikaona, na tazama, farasi wa rangi ya kijivujivu, na
yeye aliyempanda jina lake ni Mauti, na Kuzimu akafuatana naye. Nao wakapewa
mamlaka juu ya robo ya nchi, waue kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni na kwa
hayawani wa nchi. Imeandikwa Ufunuo wa Yohana 6:8~10
kwa kuwa kifo ni roho Basi roho chafu zinaweza kutumia mauti kukumaliza mapepo, majoka, mizimu, majini na miungu. Kifo hakina macho lakini hakikosei kifo hakina kichwa ila kina kina akili kinaweza kujua kule kilikotumwa na kujuwa kunanaendeka au hakuendeki mauti inaweza kuishi na Mtu kwa muda mrefu kabisa isipoondolewa basi inamaliza kazi,
kwa kuwa kifo ni roho Basi roho chafu zinaweza kutumia mauti kukumaliza mapepo, majoka, mizimu, majini na miungu. Kifo hakina macho lakini hakikosei kifo hakina kichwa ila kina kina akili kinaweza kujua kule kilikotumwa na kujuwa kunanaendeka au hakuendeki mauti inaweza kuishi na Mtu kwa muda mrefu kabisa isipoondolewa basi inamaliza kazi,
Maombi
ya Hezekia kupinga roho ya mauti
Imeandikwa,Isaya 38:1-7 Hezekia tayari mauti ilisha ingia ndani na chanzo
kilisha patikana ilikuwa inangoja muda wa kumaliza kazi ya kumuuwa ezekia,
Kwa mfano anayejifika mabomu, tunasema mauti ndani ya
mtu,anayetoa mimba,anayepiga mke,au mme,anayetumia madawa ya
kulevya,anayechokoza wengine,anayedhulumu pesa ya mwenzake,anayezini na mke
asiye mke wake,anayefanya uasherati,anayeiba,chochote cha mtu,iwe pesa au mke,
Kifo kinaweza kuwekwa kwenye gari.kikaishi Kwa muda
kusubiri chanzo au sababisho ili kuuwa.
Kuna mapepo yanayoweza kuitwa na wachawi, na kuagizwa kuleta mauti katika maisha ya mtu aliyekusudiwa niliwahi kufundisha alama za mapepo maringo,kupita kawaida , ukahaba, kuharibu mimba, kuvunja ndoa, kusababisha utasa,ajali zisizoeleweka vyanzo na mambo mengine. Kuna majini/mapepo ya uchizi, kuna mashetani maalum yanayotenda kazi kulingana na ngazi zao na maagizo. Mapepo yanayosumbuwa Huduma ni tofauti na la biashara,
Si kila maombi yanajibiwa kirahisi tu,
“Lakini mkuu wa ufalme wa Uajemi alinipinga siku ishirini na moja; bali, tazama, huyo Mikaeli, mmoja wa hao wakuu wa mbele, akaja kunisaidia; nami nikamwacha huko pamoja na wafalme wa Uajemi.” Imeandikwa Daniel 10:13
Kuna majini ya aina Fulani ambayo yanatumwa kwenda kumwingia mtu na kukaa ndani yake kusubiri tarehe iliyopangwa ili kutenda kazi iliyokusudiwa.
Kuna mapepo yanayoweza kuitwa na wachawi, na kuagizwa kuleta mauti katika maisha ya mtu aliyekusudiwa niliwahi kufundisha alama za mapepo maringo,kupita kawaida , ukahaba, kuharibu mimba, kuvunja ndoa, kusababisha utasa,ajali zisizoeleweka vyanzo na mambo mengine. Kuna majini/mapepo ya uchizi, kuna mashetani maalum yanayotenda kazi kulingana na ngazi zao na maagizo. Mapepo yanayosumbuwa Huduma ni tofauti na la biashara,
Si kila maombi yanajibiwa kirahisi tu,
“Lakini mkuu wa ufalme wa Uajemi alinipinga siku ishirini na moja; bali, tazama, huyo Mikaeli, mmoja wa hao wakuu wa mbele, akaja kunisaidia; nami nikamwacha huko pamoja na wafalme wa Uajemi.” Imeandikwa Daniel 10:13
Kuna majini ya aina Fulani ambayo yanatumwa kwenda kumwingia mtu na kukaa ndani yake kusubiri tarehe iliyopangwa ili kutenda kazi iliyokusudiwa.
Kifo
kilikuwa ndani ya sufuria kinangoja watu wale chakula ili wafe,
Kifo kilikuwa ndani ya sufuria kinasubiri watu wale
lakini kikateguliwa na Mtu wa Mungu Elsha hii inadhihirisha kuwa watu wengi
wanatembea na kifo ndani yao bila ya wao kujua. Unaweza kuona kwamba mtu anaona
hatari iko mbele yake lakini anaenda bila kuiona kwasababu kifo kiko ndani yake
kimempofusha macho asiione na kinasubiri nafasi ili kimtenganishe na mwili
wake.
Kila unayemwona hapa duniani anatumikia utawala wa juu au wa chini kwa kujua au bila ya yeye kujua.
Inawezekana rafiki yako wa kazini anakuonea wivu jinsi unavyofanikiwa akakuendea kwa mganga wa kienyeji ili ufe umuachie nafasi uliyo nayo. Akifika anapewa masharti na Yule mganga anatuma kifo kuja kwako. Kifo kinaweza kutumwa kwa mtu kulingana na mazingira aliyo nayo.
Kila unayemwona hapa duniani anatumikia utawala wa juu au wa chini kwa kujua au bila ya yeye kujua.
Inawezekana rafiki yako wa kazini anakuonea wivu jinsi unavyofanikiwa akakuendea kwa mganga wa kienyeji ili ufe umuachie nafasi uliyo nayo. Akifika anapewa masharti na Yule mganga anatuma kifo kuja kwako. Kifo kinaweza kutumwa kwa mtu kulingana na mazingira aliyo nayo.
Mapepo hayapendi kutambuliwa kujulikana hutengeneza
mazingira ambayo watu wakiangalia watasema marehemu alifariki kwa ajali, kwa
kuugua, kwa presha na watu wakiangalia wanakubaliana na hali hiyo kumbe ni kifo
kimemchukua mtu huyo.
Roho ya mtu inaweza kutolewa na joka au jini ambalo
linakuja kuingia ndani ya mtu kuitoa roho ya mtu. Kwasababu roho ndiyo imtiayo
mwili uzima kwahiyo roho ya mtu ikitolewa nje ya mwili, mtu huyo unaacha
kufanya kazi. Mtu huyo anaitwa amekufa, marehemu
Mauti ikiwa
mahali jina linabadilika kwa mtu anaitwa maiti,au marehem ndani ya mji utaitwa Mji
wa mauti unaitwa mji wa mauti kwa sababu kazi yake kubwa ni kusababisha mauti.
2WAFALME
2:19 “watu wa mjini wakamwambia Elisha, angalia twakusihi, mahali pa mji huu ni
pazuri kama bwana wangu aonavyo, lakini maji yake hayafai, na nchi huzaa
mapoza”. Unaweza ukawa unafanya biashara Fulani na unaweza ukawa unapata faida
lakini kumbe ndani ya biashara hiyo kuna mauti. Kwa mfano: biashara ya bodaboda,
watu wanasema “asante mchina ametusaidia” lakini angalia jinsi ambavyo watu
wengi wanakufa kutokana na hizo bodaboda. Katika ndoa watu wanajifunguwa
wanakufa ovyo, mitaa mingine uwezi kusikia harusi hata siku moja utasikia
taarifa za msiba tu, kuna mtaa kila biashara inayoanzishwa lazima ife maana
mauti ipo ndani ya mtaa,
Pata maarifa leo na uanze mapambano
“Kwa mamlaka ya jina la Yesu kila roho ya mwanadamu,
mashetani, kifo, na mapepo yote na miungu yote ya mauti kokote kwa yeyote palipowekwa roho ya mauti iliyotumwa
kuja kuingia ndani yangu, kwenye biashara yangu, kwenye kazi yangu,uchumba,ndoa,mashamba,
ili nife zife,au kazi yangu ife ninaondoa kwa jina la Yesu, ninazifunga na
kuzivunja roho zote zilizotumwa kwangu kwa mamlaka ya jina la Yesu. Amen”
wakala
wa kerubi anaweza kutuma roho ya mauti ikakutesa hadi kifo,
Bwana MUNGU asema
hivi; Ole wao wanawake wale, washonao hirizi katika viungo vyote vya mikono,
wawekao leso juu ya vichwa vya kila kimo, ili wawinde roho za watu;
je! Mtaziwinda roho za watu wangu, na kuzihifadhi hai
roho zenu wenyewe? Nanyi mmeninajisi kati ya watu wangu, kwa ajili ya makonzi
ya shayiri na vipande vya mkate, ili kuziua roho za watu ambao haiwapasi kufa,
na kuzihifadhi hai roho za watu ambao haikuwapasa kuwa hai, kwa kuwaambia uongo
watu wangu wasikilizao uongo. Basi Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni
kinyume cha hirizi zenu, ambazo kwa hizo mnaziwinda roho za watu kama ndege,
nami nitazitoa katika mikono yenu kwa nguvu; nami nitaziachilia roho zile
mnazoziwinda kama ndege.” Ezekiel 13:18~20
Search
Popular Posts
-
Na Mtu wa Mungu Nabii Samson Somo : KUHARIBU MADHABAHU YA ADUI JUU YA MAISHA YAKO Utangulizi Kimsingi kufanikiwa au kuharib...
-
Maombi ya kupinga Roho ya mauti, 2Wafalme 4:40 Utangulizi: Roho ya mauti unaweza kuipinga kwa maombi isaya 38:1 ...
-
VIPENGELE 9 V YA MAOMBI Na Mtu wa Mungu Nabii Samson Mboya, SOMO VIPENGELE 9 VYA MAOMBI Utangulizi: Maisha...
-
Kuuoshwa miguu Yohana 13:3-8 Utangulizi Yesu, hali akijua ya kuwa Baba amempa vyote mikononi mwake, na ya kuwa alitok...
-
Ujimbe watu waliyowekewa mipaka ya kutofanikiwa Utangulizi Kuna watu wengi Sana hatima zao zimewekewa mipaka na hiyo ndiyosababu k...
-
MAUTI YA KUTOSAMEHE Warumi 6: 23 Utangulizi: Watu wengi wamekufa kiroho au kimwili kwasababu ya kutokusamehe na kuachilia wengine ...
Recent Posts
Blog Archive
Powered by Blogger.